The Tech Planner

Featured post

USALAMA APP REVIEW

Its agreeable that worst things tend to happen to us when we are alone: Be it health emergencies,  crimes etc. .All these happen to us unex...

Monday 11 April 2016

MICHEMKO KATI YA WAPENZI WEMA SEPETU NA IDRIS SULTAN

kumetokea mihemko na michemko kati ya mshindi wa Big Brother Africa 2015 Idris Sultan na mpenzi wake wa sasa,Wema  Sepetu ,ambaye ni mpenzi wa zamani wa Diamond Platnumz

Hii ni baada ya Idris kukutana na video clip inayosambaa kwenye mitandao ikionyesha Wema Sepetu akimpa denda mwanamume mwingine.

Hata hivyo, wawili hawa bado hawajaachana ila mapenzi yao yamekumbwa na msukosuko kwani Idris,alieleza kwenye Interview moja kwamba kuona video clip ya mpenzi wake akimbusu mwanamume mwingine kumemuudhi na kumuumiza hisia zake.

Share:

0 comments:

GET NOTICED

GET NOTICED
PRESENTER ALI. Powered by Blogger.

Author Details

contact us



Translate

Labels