The Tech Planner

Featured post

USALAMA APP REVIEW

Its agreeable that worst things tend to happen to us when we are alone: Be it health emergencies,  crimes etc. .All these happen to us unex...

Sunday 10 April 2016

Diamond platnumz aanzisha REALITY TV SHOW ya maisha yake


Ametuzubaisha kwa muziki na mikiki, sasa Diamond Platnumz atuduwaza kwa visiki kwenye Televisheni!!

"Muda si Mwingi Kipindi cha Maisha yangu ya kila siku, Familia na Team yangu nzima itaanza kuwa kwa Tv yako pendwa… nakuahidi sio tu eti Kireality showni Reality show Bora ambayo naamini utaipenda kunzia kwenye Quality, Mikasa na matukio yote nnayopitia mimi, Familia na Team yangu kila siku….Mengi yanaonekana, Unayoyasikia, Unayasoma ila kwenye Hiki kipindi ndio itakuwa Thibitisho la kila uvumi uusikiao….Sjui Kipini puani, Mara jicho, Mara sjui @officialshetta , Mara DNA, Mara @romyjons kutoinekana tena kwenye Tour Ghafla….Niamini mimi yote utaona na kuyapata kwa uwazi kabisa, Kaa na Mimi…….! We unavyohisi reality Show yetu itakuwa inaitwaje..? Cc @zarithebosslady @romyjons "



Ndio haya Maneno yake diamond Platnumz, star wa East Africa ,hit maker wa Make me sing, zigo remix ,nana, (the list is endless) kwenye official Instagram Handle yake. @Diamondplatnumz

Diamond Platnumz ,ambaye maisha yake yamekuwa ya kusisimua hasa kimuziki ameahidi kuwa show hii itakua Kali, yenye kusisimua na kuburudisha.Show ambayo itakua reality show Ya kwanza ya maisha ya msanii wa East Africa,kama wafanyavyo mastar wa nchi za ng'ambo,kama vile kwenye "T.I AND TINY" yake T.I ,"brotherhood " yake snoop Dogg" na "meet the Kardashians" ya Kardashian family na nyinginezo.

Kilichobaki,tungoje  vioja na burudani.

Share:

0 comments:

GET NOTICED

GET NOTICED
PRESENTER ALI. Powered by Blogger.

Author Details

contact us



Translate

Labels