The Tech Planner

Featured post

USALAMA APP REVIEW

Its agreeable that worst things tend to happen to us when we are alone: Be it health emergencies,  crimes etc. .All these happen to us unex...

Sunday 10 April 2016

NOTI FLOW AZUNGUMZA baada ya video yake kupigwa marufuku nchini Kenya

Noti flow ambaye ni msanii wa kike kutoka nchini Kenya alizungumza kwenye Exclusive Interview na presenter Ali.

Katika interview hio iliyofanywa kwenye show ya (E-SHOW)
Noti Flow alieleza hisia zake baada ya video yake ya "SAME LOVE -inayoonyesha mapenzi ya jinsia moja" kupigwa marufuku nchini Kenya na shirika LA Kenya Films Classification Board.
Itazame interview yenyewe
HAPA

Vilevile Notiflow alifunguka wazi kuhusu hisia zake kuhusu mapenzi ya jinsia moja .Tazama

HAPA PIA

Share:

0 comments:

GET NOTICED

GET NOTICED
PRESENTER ALI. Powered by Blogger.

Author Details

contact us



Translate

Labels