Kwa Mara nyingine tena noti flow msanii kutoka Kenya ambaye amekua moja ya wasanii Wenye kuzua tashwishi miongoni mwa wakenya kwa mambo kadhaa anayofanya zikiwemo hisia zake kuhusu ndoa ya jinsia moja,amerudi kwa vishindo!
Kwenye post yake latest ya insta , noti...
Featured post
USALAMA APP REVIEW
Its agreeable that worst things tend to happen to us when we are alone: Be it health emergencies, crimes etc. .All these happen to us unex...

Friday, 27 May 2016
ZAWADI ALIYOPATA JULIANI
Unknown20:26:00juliani azawadiwa, juliani gifted, juliani kenya, julianigram, mic and dream concert
No comments

Juliani, star kutoka Kenya alizawadiwa kitabu, dakika kadhaa kabla ya kwenda mbele ya mashabiki zake kwenye "mic and dream concert"
Hakuhimili furaha yake na kuenda moja kwa moja hadi insta na kuandika
"Great surprise before the mic and dream concert, I got this book delivered....
SAUTISOL WALIVYOKICHANA NCHINI SOUTH AFRICA
Sauti Sol mastaa wa Africa kutoka nchini Kenya, Jana Mei 27, walitua nchini Afrika Kusini.
South Africa ni kati ya sehemu walizotembelea katika ziara yako maarufu ya "LIVE AND DIE IN AFRICA" ili kuipa msukumo album yao kwa jina hilo.
Tazama picha uone mambo yalivyokuwa Jana...
KING KAKA ATUA KISUMU!
Leo hii, jumamosi ya mei,28, Rabbit the king ,atatua katika mji wa kisumu kwa niaba ya kuwaburudisha mashabiki wake kwenye ziara kwa jina"THE KENYAN TOUR"
kwa watu wa eneo la Kisumu msikose,kwani Leo hii King Kaka atakua katika mji wenu,akiwatumbuiza "Rang'ala girls "
Comment...
DIAMOND PLATNUMZ TAKES BLINGS TO THE GRAM
Diamond platnumz ,hit maker mkubwa wa East Africa ,ambaye juzi tu amekua nominated kwenye BET AWARDS 2016,Katika kundi la best international act Africa,
Leo hii , amepeleka mashauzi moja kwa moja na kuonyesha kati ya "blings" anazovaa za dhahabu na Almasi kwenye official...
HUDDAH LANDS ANOTHER DEAL

baada ya kufanya kazi na Vazzi clothing collection.' Huddah Monroe sasa amepata deal nyingine na hivi sasa ndiye brand ambassador wa BrightenMi Cosmetics katika sehemu hii ya Afrika mashariki.
”Meet our new #BrightenMi Ambassador for the East African region.#HONEY...
AUDIO ALERT! HARMONIZE FT KOREDEBELLO

inaonekana kuwa msanii Harmonize star wa bongo fleva ameachia kibao kipya huku akimshirikisha msanii mkubwa kutoka Nigeria Koredebello.Harmonize amejulikana kwa hits kama vile Aiyola na bado,kibao alichomshirikisha Diamond Platnumz.
katika post yake ya insta, Diamond platnumz...
Thursday, 26 May 2016
AUDIO ALERT "DIVINE" BY PRIME

Kutana naye PRIME msanii kutoka nchini Kenya!
Jina halisi:Ochieng Eugene Omondi
Alipozaliwa:23 May ,Nairobi Kenya
Style ya nyimbo:Newlife RnB Pop Reggae Afrodancehalll
Ochieng Eugene Omondi alizaliwa May 23).Hapo Awali alijulikana kama Decimal ila alibadili jina na kujiita ...
Wednesday, 25 May 2016
AUDIO ALERT! RAYMOND TIP TOP NATAFUTA KIKI
Unknown21:27:00natafuta kiki free mp3 download, natafutakiki, raymondtiptop, rayvanny, wcb
No comments

Baada ya hit single ya Raymond Tip Top,kwa jina #kwetu , Leo hii star huyu wa bongo fleva ameachia kibao kipya kwa jina #NATAFUTAKIKI
Unaeza kuiskiza na kudownload hapa
...
Friday, 20 May 2016
MAYUNGA FT AKON "DON'T GO AWAY"
Unknown21:12:00mayunga, Mayunga ft akon dont go away, presenter, presenter ali, presenterali, presenterali.blogspot.com, tanzania music
No comments

Mayunga,msanii kutoka nchini Tanzania,aliyeiwakilisha nchi hiyo kwenye Airtel Trace Music Star (sehemu ya kwanza mwka 2015),na kuibuka mshindi, ameachia hit single mpya kwa jina "don't go away"
katika wimbo wake mpya, Mayunga amemshirikisha msanii maarufu star wa Afrika...
DIAMOND PLATNUMZ ACHAGULIWA KUSHIRIKI KWENYE BET AWARDS 2016
Tanzania imeamkia habari zinazosisimua baada ya Diamond Platnumz kuchaguliwa tena kushiriki kwenye tuzo za kituo maarufu cha TV Marekani kiitwacho BET.hii ni awamu nyingine ambapo Platnumz amekuwa nominated kwenye tuzo hizi na sasa hivi ni kwenye tuzo...
Thursday, 19 May 2016
ALIKIBA KWENYE MKATABA NA SONY MUSIC
Unknown21:17:00alikiba, alikiba kwenye mkataba na sony music, bongofleva news, habari za bongo fleva, presenter, presenter ali, presenterali, presenterali.blogspot.com, sony music
No comments

Alikiba ni Mwimbaji staa wa bongofleva .kuanzia 19,mei 2016 atakua chini ya mwavuli wa Sony Music
.sony music ni kampuni kubwa ya muziki inayofanya kazi na mastaa wa dunia kama vile Beyonce, John Legend na Chris Brown.
Mkataba huo utahakikisha kumtengeneza Alikiba...
MSICHANA MWINGINE KATI YA WALIOTEKWA NYARA NA BOKO HARAMA APATIKANA
Unknown20:39:00amina ali, boko haram, kundi la kigaidi, mamake mzazi, msichana aliyetekwa nyara apatikana, nigeria, presenter, presenter ali, presenterali, presenterali.blogspot.com, rais wa nigeria
No comments


miaka miwili tangu zaidi ya wasichana 276 wa shule watekwe nyara na kupatikana kwa mmoja mnamo May 18 2016 ,msichana mwingine Serah Luka amepatikana kaskazini mashariki mwa jimbo la Borno.
Mkuu wa jeshi la polisi Nigeria amethibitisha taarifa hizo . hii ni baada...
Tuesday, 17 May 2016
HARMONIZE NA WOLPER KWENYE MAPENZI!!!
Unknown13:53:00harmonize, harmonize na wolper, harmonize news, jacky wolper news, presenter, presenterali, presenterali.blogspot.com, wcb
No comments


Harmonize msanii mpya aliyesajiliwa kwenye label ya WCB na Diamond Platnumz huenda baada ya ustar akajiri pia na mapenzi ya mjini!
Star huyu wa singles mbili "Aiyola" na kibao "Bado" alichomshirikisha Diamond platnumz huenda akawa na uhusiano na star muigizaji wa Tanzania Jacky...
Sunday, 15 May 2016
ALIKIBA AACHIA KIBAO KIPYA #AJE
Unknown03:52:00aje video, ajevideoisout, ali kiba, kingkiba, presenter, presenterali, presenterali.blogspot.com
No comments

Baada ya lupela ,unconditionally bae na vibao vyenye kutisha ,Alikiba al maarufu Kingkiba ameachia kibao kipya kwa jina #AJE . itazame teaser ya video HapaUtakipata kwenye official YouTube yake kuanzia 19-05-2016
...
DIAMOND PLATNUMZ ABADILISHA MUONEKANO WA NYUMBA YAO
Unknown01:55:00diamond platnumz, presenter, presenter ali, presenterali, presenterali.blogspot.com, tandale
No comments

Diamond platnumz ametia bidii kuibadilisha hali ya nyumba yao iliyopo Tandale.
Licha ya umaarufu, Diamond platnumz bado ameonyesha bidii katika kuijali familia yake.
Hii ni baada ya kuibomoa nyumba yao ya kitambo na kuijenga upya
Tazama picha ya nyumba ilivyo sasa tofauti na...
SHOW YA DIAMOND PLATNUMZ ILIVYOTISHA HUKO UDOM
Unknown00:47:00diamond and mafikizolo, diamond platnumz, MAFIKIZOLO, mafikizolo in tanzania, presenter, presenter ali, presenterali, presenterali.blogspot.com, udom, udom show, vodacom with diamond platnumz
No comments

Mnamo tarehe 12 mwezi mei, Diamond Platnumz AKA Chibu Dangote pamoja na mastaa wa Africa Mafikizolo walifika Dodoma kwa nia ya kuwafurahisha na kuburudisha wanafunzi mjini.
Diamond Platnumz alitisha zaidi kwa mihemko kwa mashabiki zake .
Show hii iliandaliwa na Vodacom...
Friday, 6 May 2016
" NAMJUA " VIDEO YA SHETTA IMETOKA
Unknown14:05:00namjua, namjua official video, officialshetta.com, presenter, presenter ali, presenterali, presenterali.blogspot.com, shetta, watch namjua official video
No comments

Siku mbili tu baada ya audio iliyotisha bongo, Mamba katika uwanja wa utunzi ,Shetta ameachia video ya hit single yake mpya kwa jina NAMJUA.
Muda mfupi tu baada ya kuachia video hii, baba Qayla amemiminiwa sifa na mashabiki wake wa insta pamoja na subscribers wa YouTube kwa...
Thursday, 5 May 2016
AUDIO YA P UNIT "HOLD TIGHT" IMETOKA!!
Unknown02:15:00boneye, decimal, frasha, gabu, hold tight audio, p unit, presenter, presenter ali, presenterali, presenterali.blogspot.com
No comments

Imekuwa ni muda sasa hatujaskia wimbo kutoka kwa wasanii wa P UNIT -Frasha,buganya na bon-eye .
Miezi kadhaa iliyopita, fununu zilitamba kwenye mitandao kuwa kikundi hiki kilitengana na kila msanii kwenda kivyake na kuanza safari mpya za kusaka hela kwa muziki wa genge.
Ila...
Wednesday, 4 May 2016
ELANI X JOSE CHAMELEONE VIDEO ALERT
Baada ya kimya kwa muda, wanamuziki kutoka Kenya almaarufu Elani wameachia kibao kipya.
mastaa hawa wa nyumbani wameachia kibao kipya wakimshirikisha msanii Jose chameleone kutoka Uganda kwa jina "My Darling"
My Darling ni wimbo wa kimapenzi unaoonyesha umuhimu wa kumwambia...
Tuesday, 3 May 2016
SHETTA KUACHIA WIMBO MPYA WIKI HII
Unknown22:25:00#presenterali, officialshetta.com, presenter, presenter ali, presenterali, presenterali.blogspot.com, shetta
No comments

Baada ya kimya kingi, msanii wa kutajika kutoka bongo,shetta aamua kuwachangamsha mashabiki wake kwa kibao kipya.
Star huyu wa nyimbo kama vile , nidanganye na kerewa ft diamond platnumz, sina imani ft Rich Mavoko na nyingine nyingi amepanga kuachia kibao kwa jina NAMJUA...
GET NOTICED
