The Tech Planner

Featured post

USALAMA APP REVIEW

Its agreeable that worst things tend to happen to us when we are alone: Be it health emergencies,  crimes etc. .All these happen to us unex...

Friday 27 May 2016

HUDDAH LANDS ANOTHER DEAL

baada ya kufanya kazi na  Vazzi clothing collection.' Huddah Monroe sasa amepata deal nyingine na hivi sasa ndiye brand ambassador wa BrightenMi Cosmetics katika sehemu hii ya Afrika mashariki.

”Meet our new #BrightenMi Ambassador for the East African region.#HONEY body and face cream are what she uses to eliminate blemishes and restore evenness,”waliandika kwenye post ya ya insta
hii ni mara ya pili  Huddah kuwa brand ambassador , baada ya kufanya kazi na ' Vazzi clothing collection.'
 
hongera Huddah!!
Share:

0 comments:

GET NOTICED

GET NOTICED
PRESENTER ALI. Powered by Blogger.

Author Details

contact us



Translate

Labels